Je UKIMWI husambazwa vipi
From Audiopedia - Accessible Learning for All
QR for this page
Virusi vya ukimwi hupatikana kwenye majimaji ya mwilini ya watu walioambukizwa - damu, shahawa, maziwa ya mama na maji maji kwenye sehemu ya uzazi ya mwanamke. Virusi hivi husambazwa maji haya yanapoingia kwenye mwili wa mtu mwingine.
Hii inamaanisha kuwa virusu vya ukimwi husambazwa kwa: