Je ni matatizo gani ya kawaida wakati wa ujauzito

From Audiopedia - Accessible Learning for All
Jump to: navigation, search
QR for this page

https://www.audiopedia.org/Je_ni_matatizo_gani_ya_kawaida_wakati_wa_ujauzito

Unapokuwa mjamzito mwili wako hubadilika na huenda ukawa na baadhi ya matatizo yafuatayo. Lakini kumbuka, mengi ya matatizo haya ni ya kawaida katika ujauzito.

  • Kuumwa na tumbo(kichefuchefu au kizunguzungu)
  • Kiungulia au tumbo kuvimba.
  • Kuvimba kwa mishipa
  • Haja kubwa kuwa ngumu (ugumu kupita kinyesi)
  • Marundo (bawasiri)
  • Maumivi miguuni
  • Maumivu ya chini ya mgongo
  • Uvimbe wa miguu
Sources
  • Burns, A. A., Niemann, S., Lovich, R., Maxwell, J., & Shapiro, K. (2014). Where women have no doctor: A health guide for women. Hesperian Foundation.
  • Audiopedia ID: sw010707