Je nini umuhimu wa kunywa maji mengi katika miaka yangu ya uzeeni

From Audiopedia - Accessible Learning for All
Jump to: navigation, search
QR for this page

https://www.audiopedia.org/Je_nini_umuhimu_wa_kunywa_maji_mengi_katika_miaka_yangu_ya_uzeeni

Kiwango cha maji mwilini hupungua mtu anavyozidi kuzeeka. VIle vile, baadhhi ya watu wenye umri mkubwa hunywa maji kidogo ili kuepukana na kwenye haja ndogo usiku au kwa sababu wanaogopa kufuja mkojo. Mambo haya yote yanaweza kusababisha upungufu wa maji mwilini. Ili kuzuia haya, kunywa galsi 8 za maji or vikombe vya majivikombe au glasi 8 za maji kila siu. Ili kuepuka kuamka usiku kwenda haja ndogo, jaribu usinywe chochote masaa 2 hadi 3 kabla ya kwenda kulala.

Sources
  • Burns, A. A., Niemann, S., Lovich, R., Maxwell, J., & Shapiro, K. (2014). Where women have no doctor: A health guide for women. Hesperian Foundation.
  • Audiopedia ID: sw010906