Mbona kuvuta sigara ni hatari zaidi kwa mimi kama mwanamke

From Audiopedia - Accessible Learning for All
Jump to: navigation, search
QR for this page

https://www.audiopedia.org/Mbona_kuvuta_sigara_ni_hatari_zaidi_kwa_mimi_kama_mwanamke

Kuongezea hizo shida zingine zilizotajwa, wanawake wanaovuta sigara wana hatari kubwa ya:

  • kupata shida kupata mimba (utasa)
  • kuharibika kwa mimba, na watoto wanaozaliwa wadogo sana au mapema sana.
  • kuwa na shida wakitumia dawa za kupanga uzazi.
  • kukata hedhi mapema.
  • kuwa na mifupa yanayovunjika kwa urahisi zaidi kuliko wengine uzeeni na hata kati ya maisha (osteoporosis).
  • saratani ya mfuko wa uzazi au tumbo/uterasi.

Mwanamke mjamzito anafaa ajaribu kuepuka watu wanaovuta sigara ili moshi huo usidhuru mtoto yake.

Sources
  • Burns, A. A., Niemann, S., Lovich, R., Maxwell, J., & Shapiro, K. (2014). Where women have no doctor: A health guide for women. Hesperian Foundation.
  • Audiopedia ID: sw010316